1. Ni tabibu wa karibu; tabibu wa ajabu;
na rehema za daima; ni dawa yake njema.
Imbeni, malaika, sifa za Yesu Bwana;
pweke limetukuka jina lake Yesu.
Hatufai kuwa hai, wala
hatutumai,
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye.
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye.
2. Dhambi pia na hatia ametuchukulia;
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni.
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni.
3. Huliona tamu jina, la Yesu kristo
Bwana,
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa.
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa.
4. Kila mume asimame, sifa zake
zivume;
Wanawake na washike kusifu jina lake.
Wanawake na washike kusifu jina lake.
5. Na vijana
wote tena, wampendao sana,
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.
GOOD
ReplyDelete