1. Yesu
kwetu ni rafiki, hwambiwa
haja pia;
tukiomba kwa Babaye, maombi asikiya;
Lakini twajikosesha, twajitweka vibaya;
kwamba tulimwomba Mungu, dua angesikia.
Lakini twajikosesha, twajitweka vibaya;
kwamba tulimwomba Mungu, dua angesikia.
2. Una dhiki na maonjo? Una mashaka
pia.
Haifai kufa moyo, dua atasikia.
Haifai kufa moyo, dua atasikia.
Hakuna mwingine mwema,
wa kutuhurumia;
atujua tu dhaifu; maombi asikia.
atujua tu dhaifu; maombi asikia.
3. Je hunayo
hata nguvu, huwezi kwendelea,
ujapodharauliwa, ujaporushwa pia.
Watu wangekudharau, wapendao dunia,
hukwambata mikononi, dua atasikia.
ujapodharauliwa, ujaporushwa pia.
Watu wangekudharau, wapendao dunia,
hukwambata mikononi, dua atasikia.
0 comments:
Post a Comment